MTENDAJI Mkuu wa Simba SC, Imani Kajula akiwa na Mkurugenzi wa Ufundi wa Mamelodi Sundowns, Flemming Berg wiki hii Jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini alipofanya ziara kwenye klabu hiyo.
Imani Kajula pia alikutana na Mwenyekiti wa Mamelodi Sundowns, Tihopie Motsepe katika ziara yake hiyo na kufanya naye mazungumzo
0 comments:
Post a Comment