• HABARI MPYA

    Tuesday, March 07, 2023

    KOCHA MPYA WA TAIFA STARS NI MUALGERIA


    SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limemtambulisha Mualgeria, Adel Amrouche kuwa kocha mpya wa timu ya taifa, Taifa Stars
    Adel Amrouche mwenye uraia wa Ubelgiji pia, ana uzoefu na soka ya Afrika, kwani licha ya kuzaliwa, kucheza na kufundisha Algeria pia amekuwa kocha katika mataifa mengine kadhaa barani.
    WASIFU WAKE
    Jina KamiliAdel Amrouche
    Kuzaliwa 7 March 1968 (Miaka 54)
    Alipozaliwa KoubaAlgiers, Algeria
    Nafasi Kiungo 
    TAARIFA ZA KAZI
    Timu ya sasa Tanzania (Kocha)
    Timu za Vijana 
    1983–1985CR Belouizdad
    1985–1988JS Kabylie
    Timu za Wakubwa*
    MwakaTimuMechi (Mabao)
    1988–1990OMR El Annasser
    1990–1991USM Alger
    1991–1992OMR El Annasser
    1992–1993Favoritner AC
    1994–????La Louviére
    Mons
    Timu Alizofundisha
    1995–1996FC Brussels (Technical Director)
    1996–2002R.U. Saint-Gilloise (General Director)
    2002–2004DC Motema Pembe
    2004Equatorial Guinea
    2005FC Volyn Lutsk (Technical Director)
    2005FK Genclerbirliyi
    2005–2006DC Motema Pembe
    2006–2007R.U. Saint-Gilloise (Technical Director)
    2007–2012Burundi
    2013–2014Kenya
    2016USM Alger
    2018Libya
    2018–2019MC Alger
    2019–2022Botswana
    2022Yemen
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA MPYA WA TAIFA STARS NI MUALGERIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top