// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SIMBA SC YABISHA HODI ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESIMBA SC YABISHA HODI ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
SIMBA SC YABISHA HODI ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA
BAO la kiungo Mzambia, Clatous Chama dakika ya 45 limeipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Vipers ya Uganda katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Afrika leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Ushindi huo unaifanya Simba SC ifikishe pointi sita na kusogea nafasi ya pili, nyuma ya Raja Casablanca yenye pointi 12 na mbele ya Horoya yenye pointi nne na Vipers pointi moja baada ya wote kucheza mechi nne. Ushindi huo unaweka hai matumaini ya Simba SC kwenda Robo Fainali ya michuano hiyo kuelekea mechi mbili za mwisho dhidi ya Horoya Dar es Salaam Machi 18 na Raja Casablanca nchini Morocco Machi 31.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment