// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
BONDIA WA TANZANIA AINGIA NUSU FAINALI NDONDI MADOLA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEBONDIA WA TANZANIA AINGIA NUSU FAINALI NDONDI MADOLA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BONDIA WA TANZANIA AINGIA NUSU FAINALI NDONDI MADOLA
BONDIA Yussuf Changalawe amefanikiwa kuingia Nusu Fainali ya Ndondi kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya kumshinda kwa Knockout (KO) Lingelier wa St Lucia usiku wa jana katika pambano la uzito wa Light Heavy Jijini Birmingham nchini England. Changalawe atakutana bondia wa Scotland katika nusu fainali, pambano ambalo akishinda atakuwa amejihakikishia Medali ama ya Dhahabu, au Fedha akishindwa ataondoka na Medali ya Shaba.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment