• HABARI MPYA

    Sunday, August 01, 2021

    MMAREKANI CELEB DRESSEL ASHINDA MEDALI YA NNE TOKYO

    MMAREKANI Caleb Dressel ameshinda mita 50 freestyle kwenye fainali mapema leo akiweka rekodi mpya kwenye Olimpiki inayoendelea Jijini Tokyo, Japan baada ya kutumia muda wa sekunde 21.07.
    Hiyo inakuwa Medali ya nne kwake kwenye Michezo ya Tokyo – na bado ana nafasi ya kushinda moja zaidi kwenye relay.
    Florent Manaudou wa Ufaransa amechukua Fedha kwa kumaliza ndani ya sekunde 21.55, wakati Mbrazil, Bruno Fratus ameshinda Shaba akitumia muda wa sekunde 21.57.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MMAREKANI CELEB DRESSEL ASHINDA MEDALI YA NNE TOKYO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top