• HABARI MPYA

    Saturday, August 07, 2021

    MAREKANI YATWAA MEDALI YA DHAHABU YA KIKAPU OLIMPIKI

    MAREKANI imetwaa Medali ya Dhahabu katika Michezo ya Olimpiki Jijini Tokyo, Japan baada ya kuifunga Ufaransa 87-82, hilo likiwa taji lao la nne mfululizo.
    Pongezi kwa Nahodha, Kevin Durant anayetarajiwa kusaini mkataba mpya wa dola za Kimarekani Milioni 198 kuendelea kucheza Brooklyn Nets kwenye NBA kwa kufunga pointi 29 kwenye ushindi huo.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAREKANI YATWAA MEDALI YA DHAHABU YA KIKAPU OLIMPIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top