Mshambulaji Mtanzania anayechezea Aston Villa ya England, Mbwana Samatta (katikati) akiwa na wachezaji wa klabu yake ya zamani, Simba SC, viungo Mkongo Deogratius Kanda (kushoto) na Mzambia Clatous Chama (kulia) leo Jijini Dar es Salaam. Samatta na Kanda wamewahi kucheza pamoja klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa mafanikio makubwa
Scepticism in Tehran as Iran and Israel reportedly halt attacks
-
STORY: :: Tehran, Iran / June 9, 2026
"No, I think the war will definitely continue, sooner or later with Israel.
Even if there is a ceasefire with the U...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment