Kipa Beno Kakolanya akidaka mpira kwa ustadi mkubwa kwenye mazoezi ya Simba leo Uwanja wa Gombani, Pemba kujiandaa na mchezo wa Kundi B Kombe la Mapinduzi dhidi ya Zimamoto kesho Saa 10:15 hapo hapo, (Gombani), mchezo ambao utarushwa LIVE na Azam Sports 2
Nyota mpya kutoka Msumbiji, Luis Jose Miquissone akipiga mpira mbele ya kiungo mwenzake, Msudan Sharaf Eldin Shiboub kwenye mazoezi ya Simba leo Uwanja wa Gombani
Kiungo Hassan Dilunga akipiga hesabu za kuwapita wenzake leo kwenye mazoezi ya Simba Uwanja wa Gombani kujiandaa na mchezo dhidi ya Zimamoto kesho
Cowboys Rumors: Latest on Ezekiel Elliott Contract Talks After Missing on
RB Brooks
-
The Dallas Cowboys lost Tony Pollard in free agency and watched as the
Carolina Panthers traded up in the second round to take the top running
back on the…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment