Kaimu Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Athumani Nyamlani (kulia) na Mkurugenzi wa Fountain Gate Academy Japhet Makau (kushoto) wakisaini mkataba wa ushirikiano kuwatunza wachezaji wa timu za taifa za vijana chini ya umri wa miaka 13 (U13), U15 na U17 katika shule ya Fountain Gate iliyopo mjini Dodoma, ambako watakua wakipatiwa elimu na mafunzo ya soka
Japan fight back twice to earn 2-2 draw with Netherlands
-
Japan produced a spirited comeback to hold Netherlands to a thrilling 2-2
draw in their opening Group F match at the 2026 FIFA World Cup in Dallas.
The p...
12 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment