Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kuisaidia timu hiyo baada ya kurejea kutoka Misri kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ambako walitolewa kwenye Raundi ya kwanza tu kufuatia kushika mkia kwenye kundi lao, C kutokana na kufungwa mechi zote tatu, 2-0 na Senegal, 3-2 na Kenya na 3-0 na Algeria.
Japan fight back twice to earn 2-2 draw with Netherlands
-
Japan produced a spirited comeback to hold Netherlands to a thrilling 2-2
draw in their opening Group F match at the 2026 FIFA World Cup in Dallas.
The p...
10 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment