Manny Pacquiao akimuadhibu Keith Thurman katika pambano la raundi 12 asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand Garden mjini Las Vegas ambalo alishinda kwa pointi na kutwaa taji la WBA uziro wa Super Welter. Majaji wawili walimpa ushindi wa pointi 115-112 Pacquiao, wakati Glenn Feldman alimpa Thurman ushindi wa pointi 114-113 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dianna Russini did NOT rescue elderly man and dog from car crash, witness
claims in latest blow for reporter after Mike Vrabel scandal
-
The ongoing saga involving journalist Dianna Russini and New England
Patriots head coach Mike Vrabel has taken another bizarre twist.
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment