• HABARI MPYA

    Sunday, July 21, 2019

    PACQUIAO AMDUNDA THURMAN NA KUTWAA TAJI LA WBA

    Manny Pacquiao akimuadhibu Keith Thurman katika pambano la raundi 12 asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand Garden mjini Las Vegas ambalo alishinda kwa pointi na kutwaa taji la WBA uziro wa Super Welter. Majaji wawili walimpa ushindi wa pointi 115-112 Pacquiao, wakati Glenn Feldman alimpa Thurman ushindi wa pointi 114-113 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PACQUIAO AMDUNDA THURMAN NA KUTWAA TAJI LA WBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top