Manny Pacquiao akimuadhibu Keith Thurman katika pambano la raundi 12 asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand Garden mjini Las Vegas ambalo alishinda kwa pointi na kutwaa taji la WBA uziro wa Super Welter. Majaji wawili walimpa ushindi wa pointi 115-112 Pacquiao, wakati Glenn Feldman alimpa Thurman ushindi wa pointi 114-113 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 World Cup Qualifiers: I don't pay attention to the statistics - Ghana
coach Otto Addo ahead of Chad, Madagascar games
-
Black Stars coach, Otto Addo says he is not interested in the staticstics
ahead of the team's 2026 World Cup qualifiers against Chad and
Madagascar.Ghana e...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment