Harry Kane akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za 54 na 65 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Stoke City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Mabao mengine ya Spurs Ryan Shawcross alijifunga dakika ya 21, Son Heung-Min alifunga dakika ya 53 na Christian Eriksen alifunga dakika ya 74. Shawcross alifunga bao la kufutia machozi la Stoke City dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Caitlin Clark Hyped as 'Real Deal' By WNBA Fans Despite Fever Preseason
Loss to Wings
-
Caitlin Clark made a strong first impression in her WNBA preseason debut on
Friday night. Although the Indiana Fever fell to the Dallas Wings by the
final…
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment