Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika za 23 akimalizia pasi ya Marco Asensio na 31 kwa penalti katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa La Liga na kufikisha mabao 18 jumla msimu wa 2017-2018. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Nacho Fernandez dakika ya tatu and Toni Kroos dakika ya 38 na kinda wa miaka 19 Achraf Hakimi dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rodrygo latest: 'Five Premier League clubs - including Man United - ready
to battle over the Brazilian' as he looks to depart Real Madrid following
issue with Jude Bellingham
-
The Brazilian is primed for a summer exit from the Santiago Bernabeu after
reportedly deciding he doesn't want to play for the club again, and is
believed ...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment