Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika za 23 akimalizia pasi ya Marco Asensio na 31 kwa penalti katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa La Liga na kufikisha mabao 18 jumla msimu wa 2017-2018. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Nacho Fernandez dakika ya tatu and Toni Kroos dakika ya 38 na kinda wa miaka 19 Achraf Hakimi dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Salah set to stay at Liverpool - Tuesday's gossip
-
Mohamed Salah set to stay at Liverpool, PSG cool interest in Marcus
Rashford, Ajax want to reappoint Erik ten Hag, plus more.
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment