Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 21 na 75 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, West Ham United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa London. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Joel Matip dakika ya 24 na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 56, wakati la West Ham limefungwa na Manuel Lanzini dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Severe weather warnings hit Madrid as Arsenal prepare to cope with the
Atletico storm in Champions League showdown
-
Mikel Arteta said Arsenal are ready to tackle any scenario amid warnings of
'significant danger' caused by storms which are set to hit Madrid on
Wednesday ...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment