Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 21 na 75 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, West Ham United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa London. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Joel Matip dakika ya 24 na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 56, wakati la West Ham limefungwa na Manuel Lanzini dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Referee chiefs' Howard Webb 'will admit Nottingham Forest SHOULD have had a
penalty in Everton defeat'... but Nuno Espirito Santo's side 'still face
FOUR FA charges' for publicly blasting officials
-
Howard Webb, the head of Premier League refereeing, will admit Nottingham
Forest should have had a penalty in their controversial defeat to Everton
earlier...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment