• HABARI MPYA

    Thursday, May 04, 2017

    GONZALO HIGUAIN APIGA ZOTE MBILI JUVE YAITANDIKA MONACO 2-0

    Gonzalo Higuain akiifungia Juventus bao la kwanza dakika ya 29 kati ya mawili aliyofunga lingine dakika ya 59 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Monaco kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Louis II mjini Monaco, Ufaransa  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GONZALO HIGUAIN APIGA ZOTE MBILI JUVE YAITANDIKA MONACO 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top