Gonzalo Higuain akiifungia Juventus bao la kwanza dakika ya 29 kati ya mawili aliyofunga lingine dakika ya 59 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Monaco kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Louis II mjini Monaco, Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Archer named in England's T20 World Cup squad
-
Fast bowler Jofra Archer returns to England's squad for the T20 World Cup
in June after more than a year out with injuries.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment