Wachezaji wa Huddersfield Town wakishangilia na taji lao la mechi ya mchujo ya Championship kuwania kupanda Ligi Kuu England baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 120 leo Uwanja wa Wembley, London. Liam Moore alipaisha mkwaju wake kabla ya Danny Ward kuokoa penalti ya Jordan Obita na pamoja na kipa Ali Al-Habsi kuokoa tuta la Michael Hefele, haikuzuia Huddersfield Town kurejea Ligi Kuu mwa mara ya kwanza tangu mwaka 1972 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sauce Gardner sparks 'Drake Curse' fears among Jets fans after posting a
picture with the world-famous rapper, before telling supporters 'we good'
in follow-up post
-
Sauce Gardner has sparked fears among Jets fans that the team will fall
victim to the 'Drake Curse' after he posted a picture with the rapper.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment