Nyota wa Arsenal mwenye umri wa miaka 26, Aaron Ramsey akitimua mbio kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 79 ikiilaza 2-1 Chelsea katika fainali ya Kombe la FA England leo Uwanja wa Wembley, London. Bao la kwanza la Arsenal lilifungwa na Alexis dakika ya nne, kabla ya Diego Costa kuisawazishia Chelsea dakika ya 76. Chelsea ilimaliza pungufu baada ya Victor Moses kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kujiangusha kwenye boksi dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Indefensible' and 'unacceptable' - furious Rosenior questions Chelsea's
desire
-
Chelsea boss Liam Rosenior strongly criticises his players after they
suffer a fifth loss in a row without scoring for first time since 1912.
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment