Kipa wa Mwadui FC, Shaaba Kado akimuangusha mshambuliaji wa Simba, Shizza Kichuya katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tukio liliwapa Simba penalti na Kichuya mwenyewe akaenda kufunga bao la kwanza katika ushindi wa 2-1
Kiungio wa Mwadui FC Abdallah Seseme akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Simba, Said Ndemla
Kiungo mshambuliaji wa Simba, Pastory Athanas akimtoka beki wa Mwadui FC
Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (kushoto) akimiliki mpira dhidi ya mchezaji wa Mwadui
Kikosi cha Simba kwenye mchezo wa jana
Kikosi cha Mwadui FC kwenye mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Hearts of Oak players are lining up Girls for fun- Former captain Amankwah
Mireku rips into stars after poor campaign
-
Former captain of Hearts of Oak, Amankwah Mireku has gone ballistic at he
current players of the club describing them as jokers following the team's
slump ...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment