• HABARI MPYA

    Thursday, May 25, 2017

    MOURINHO ALIVYOBEBWA JUU JUU NA WASAIDIZI WAKE

    Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho akiwa amebebwa juu na wasaidizi wake baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Ajax usiku wa Jumatano kwenye fainali ya Europa League Uwanja wa Friends Arena mjini Stockholm, Sweden PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOURINHO ALIVYOBEBWA JUU JUU NA WASAIDIZI WAKE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top