Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia na tuzo yake ya ufungaji bora wa Ligi Kuu Ujerumani, maarufu kama Bundesliga baada ya kumaliza na mabao 31 kufuatia jana kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-3 dhidi ya Werder Bremen na Mgabon huyo mwenye umri wa miaka 27 kumzidi mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski katika kinyang'anyiro cha tuzo hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Deafening silence? Chelsea stars stay quiet on Liam Rosenior's sacking -
with NONE of the squad paying tribute on social media - in stark contrast
to when Enzo Maresca was axed
-
There has been radio silence from Chelsea's players the day after Liam
Rosenior's sacking. It is in stark contrast to when the Blues axed Enzo
Maresca earl...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment