Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia na tuzo yake ya ufungaji bora wa Ligi Kuu Ujerumani, maarufu kama Bundesliga baada ya kumaliza na mabao 31 kufuatia jana kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-3 dhidi ya Werder Bremen na Mgabon huyo mwenye umri wa miaka 27 kumzidi mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski katika kinyang'anyiro cha tuzo hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United told to take action against 'scumbag' fans caught posing as
disabled supporters to get into matches... as charity warns their behaviour
'cannot be tolerated'
-
Mail Sport reported this week that United had received 'multiple'
allegations of non-disabled fans turning up to away games in a wheelchair
using tickets a...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment