Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia hat-trick Tottenham katika ushindi wa 7-1 dhidi ya wenyeji Hull City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu England Uwanja wa KCOM hivyo kufanikiwa kumaliza mfungaji bora wa ligi kwa mabao yake 29. Kane alifunga dakika za 11, 13 na 72 wakati mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Dele Alli dakika ya 45 na ushei, Victor Wanyama dakika ya 69, Ben Davies dakika ya 84 na Toby Alderweireld dakika ya 87, wakati la kufutia machozi la Hull City limefungwa na Sam Clucas dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steve Davis gives BBC pundit death stare live on TV after incredibly
awkward comment at the World Snooker Championship in Sheffield
-
Former snooker star Steve Davis has given a BBC pundit a death stare on
live television after an incredibly awkward comment during the World
Snooker Champi...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment