Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Hispania kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Malaga leo Uwanja wa La Rosaleda mjini Malaga katika mchezo wa mwisho wa La Liga. Mabao ya Real Madrid ambayo wiki ijayo itamenyana na Juventus katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yamefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya pili na Karim Benzema dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fury says he is looking for new opponent, calls out Usyk
-
Tyson Fury has sparked more speculation his all-British heavyweight fight
with Anthony Joshua is on the verge of collapse by suggesting he needs a
new oppo...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment