Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Hispania kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Malaga leo Uwanja wa La Rosaleda mjini Malaga katika mchezo wa mwisho wa La Liga. Mabao ya Real Madrid ambayo wiki ijayo itamenyana na Juventus katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yamefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya pili na Karim Benzema dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Floyd Mayweather gifts $30k to homeless men before Clippers-Mavs Game 5 in
L.A.
-
The undefeated, retired boxing champion was headed to Crpyto.com for game 5
on Wednesday when he bumped into several men on the street in downtown
L.A., ac...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment