Kinda Josh Harrop akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester United dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la United limefungwa na Paul Pogba dakika ya 19 na United imemaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Presidency’s insults can’t replace transparency – Atiku
-
Former Vice President Atiku Abubakar has said the latest statement by the
Presidency attacking his person is further proof that the President Bola
Tinubu...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment