Kinda Josh Harrop akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester United dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la United limefungwa na Paul Pogba dakika ya 19 na United imemaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rodri shows Barcelona exactly what they were missing in first start under
Hansi Flick
-
Rodri’s first start for Barcelona under Hansi Flick offered an early
glimpse of why the club made the midfielder one of the headline signings of
their summ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment