Kinda Josh Harrop akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester United dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la United limefungwa na Paul Pogba dakika ya 19 na United imemaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter FitzSimons reignites his feud with James Graham after the footy star
called him a 'parasite'
-
Columnist and renowned author Peter FitzSimons has reignited his ugly feud
with James Graham after the former footy star turned NRL commentator
recently ca...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment