Wachezaji wa Barcelona wakiwa katika picha ya pamoja na Kombe lao la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey baada ya kukabidhiwa usiku wa jana kufuatia ushindi wa 3-1 dhidi ya Deportivo Alaves Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid. Mabao ya Barca yalifungwa na Lionel Messi dakika ya 30, Neymar dakika ya 45 na Paco Alcecer dakika ya 45, wakati la Alaves lilifungwa na Theo Hernandez dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raiders coach Ricky Stuart reveals whether recent Des Hasler blue outside
the dressing room in Canberra ruined a 35-year friendship
-
Raiders coach Ricky Stuart has addressed suggestions of a feud with Titans
counterpart Des Hasler. It follows ugly scenes outside the dressing rooms
in Can...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment