Wachezaji wa Barcelona wakiwa katika picha ya pamoja na Kombe lao la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey baada ya kukabidhiwa usiku wa jana kufuatia ushindi wa 3-1 dhidi ya Deportivo Alaves Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid. Mabao ya Barca yalifungwa na Lionel Messi dakika ya 30, Neymar dakika ya 45 na Paco Alcecer dakika ya 45, wakati la Alaves lilifungwa na Theo Hernandez dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fury says he is looking for new opponent, calls out Usyk
-
Tyson Fury has sparked more speculation his all-British heavyweight fight
with Anthony Joshua is on the verge of collapse by suggesting he needs a
new oppo...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment