Kikosi kizima cha Mbao FC kikiwa nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana walipokwenda kwa mwaliko wa Mbunge wa jimbo la Ilemela, Dk. Angeline Mabula ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Mbao yenye maskani yake Ilemela, Mwanza kesho inatarajiwa kumenyana na Simba SC katika fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC).
hibaut Courtois goes on bizarre tirade against fans who disrespected him on Twitter
-
The Belgian goalkeeper put in a man of the match display to deny
Liverpool's wealth of attacking talent and ensure Real Madrid won their
14th Champions Lea...
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni