Kikosi kizima cha Mbao FC kikiwa nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana walipokwenda kwa mwaliko wa Mbunge wa jimbo la Ilemela, Dk. Angeline Mabula ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Mbao yenye maskani yake Ilemela, Mwanza kesho inatarajiwa kumenyana na Simba SC katika fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC).
'Indefensible' and 'unacceptable' - furious Rosenior questions Chelsea's
desire
-
Chelsea boss Liam Rosenior strongly criticises his players after they
suffer a fifth loss in a row without scoring for first time since 1912.
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment