Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kutoka kulia Said Ndemla, Mohammed Hussein 'Tshabalala', Ibrahim Hajib, Jonas Mkude wote wa klabu ya Simba na Simon Msuva wa Yanga wakiwa nje ya kambi ya timu hiyo, hoteli Urban Rose, eneo la Kisutu, Dar es Salaam. Mkude amejiunga na timu hiyo leo baada ya kuruhusiwa kutoka hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa tangu jana usiku kufuatia kupatab ajali ya gari eneo la Dumila, Morogoro akitokea Dodoma.
Westfield Bondi Junction: Sydney Roosters and Melbourne Storm pay poignant
tribute to victims of horror attack in first match since six people died at
shopping mall
-
Six people died as a result of a stabbing frenzy by Joel Cauchi at
Westfield Bondi Junction, a shopping mall local to the Roosters football
club.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment