Wachezaji wa Arsenal wakifurahia na Kombe lao la FA England baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea Uwanja wa Wembley leo. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Alexis Sanchez dakika ya nne na Aaron Ramsey dakika ya 79, wakati la Chelsea limefungwa na Diego Costa dakika ya 76. Chelsea ilimaliza pungufu baada ya Victor Moses kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kujiangusha kwenye boksi dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rodri shows Barcelona exactly what they were missing in first start under
Hansi Flick
-
Rodri’s first start for Barcelona under Hansi Flick offered an early
glimpse of why the club made the midfielder one of the headline signings of
their summ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment