Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp akikimbia kushangilia baada ya Adam Lallana kuifungia timu hiyo bao la tatu dakika ya 56 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Middlesbrough leo uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England hivyo kujihakikishia nafasi ya nne na kukata tiketi ya Ligi ya Mabingwa. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 45 na ushei na Philippe Coutinho dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rodri shows Barcelona exactly what they were missing in first start under
Hansi Flick
-
Rodri’s first start for Barcelona under Hansi Flick offered an early
glimpse of why the club made the midfielder one of the headline signings of
their summ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment