• HABARI MPYA

    Tuesday, May 23, 2017

    MAN UNITED WAWAOMBEA WALIOFARIKI KWA SHAMBULIO LA KIGAIDI

    Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney akiwaongoza wenzake katika ukimya wa dakika moja kabla ya kuanza mazoezi viwanja vya Carrington, Manchester kuwaombea watu 22 waliofariki dunia baada ya shambulizi la kigaidi kwenye tamasha la muziki wa Pop mjini Manchester usiku wa Jumatatu tukio ambalo lilisababisha watu wengine 119 wajetuhiwe. United inafanya mazoezi hapo leo kujiandaa na mchezo wa fainali ya Europa League kesho Friends Arena mjini Stockholm, Sweden dhidi ya Ajax 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED WAWAOMBEA WALIOFARIKI KWA SHAMBULIO LA KIGAIDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top