Wachezaji wa Chelsea wakishangilia na Kombe lao la ubingwa wa Ligi Kuu ya England walilokabidhiwa baada ya mechi dhidi ya Sunderland wakishinda 5-1 Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Willian dakika ya nane, Eden Hazard dakika ya 61, Pedro dakika ya 77, M. Batshuayi dakika ya 90 na 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rodri shows Barcelona exactly what they were missing in first start under
Hansi Flick
-
Rodri’s first start for Barcelona under Hansi Flick offered an early
glimpse of why the club made the midfielder one of the headline signings of
their summ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment