Mshambuliaji mpya wa Yanga, Emmanuel Martin aliyesajiliwa jana kutoka JKU ya Zanzibar akivaa viatu ili kwenda kuungana na wachezaji wenzake wapy kwa mazoezi jioni ya leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
Emmanuel amesajiliwa siku chache baada ya kuifunga mabao mawili ikilala 2-0 mbele ya JKU Uwanja wa Uhuru Jumamosi
Emmanuel mwenye jezi namba 18 akifanya na mazoezi na wenzake leo Uhuru
Yanga inajiandaa kwa mchezo wa kwanza mzunguko wa pili Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya JKT Ruvu Jumamosi wiki hii
Na leo imefanya mazoezi yake kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment