Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho (kushoto) akiwa amenuna baada ya timu yake kufungwa mabao 2-1 na Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Kulia ni kocha wa City, Pep Guardiola ambaye mabao ya timu yake yamefungwa na Kevin de Bruyne na Kelechi Iheanacho, wakati la kufutia machozi la United lilifungwa na Zlatan Ibrahimovic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrick Mahomes gives peek of charity gala as Travis Kelce, Taylor Swift
and Co hit red carpet for swanky Las Vegas auction - where the Chiefs duo
combine for a hilarious touchdown pass - before QB and friends enjoy round
of golf
-
Patrick Mahomes has given fans an inside look at his Las Vegas charity gala
after a host of star names came together to raise money for his foundation
this...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment