Adam Lallana akifurahia na Sadio Mane (Namba 19) mgongoni baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Roberto Firmino mawili, wakati la Leicester lilifungwa na Jamie Vardy PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steve Erceg is the Australian Steve Carrell lookalike who was called up to
fight for a UFC title shot while devouring KFC... meet 'Astro Boy', the
most unlikely challenger in recent history ahead of fight in Rio de Janeiro
-
The response from plenty of MMA fans when they heard it would be Steve
Erceg taking on Alexandre Pantoja at UFC 301, was: 'Who?' The Australian
has bolted ...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment