Graziano Pelle akiifungia bao la kwanza Italia katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji Israel usiku wa jana Uwanja wa Sammy Ofer mjini Haifa katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia. mabao mengine ya Italia katika mchezo huo ambao beki wake tegemeo Giorgio Chiellini alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 55 baada ya kugombana na Tomer Hemed wakigombea mpira yalifungwa na Antonio Candreva na Ciro Immobile wakati la Israel lilifungwa na Tal Ben Haim PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sam Hartman, Jordan Travis' Top Landing Spots After Day 2 of 2024 NFL Draft
-
What a difference a day makes. The first round of the 2024 NFL draft on
Thursday night saw a total of six quarterbacks selected. The second and
third rounds…
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment