Wachezaji wa Yanga SC, kutoka kulia Wazimbabwe Donald Ngoma, Thabani Kamusoko na wananchi Juma Abdul, Simon Msuva na Mwinyi Hajji Mngwali wakijadiliana namna ya kupiga mpira wa adhabu dakika za mwishoni katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Ndanda FC jioni ya leo Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara. Timu hizo hazikufungana.
James' Lakers knocked out with defeat by Nuggets
-
The Los Angeles Lakers are knocked out of the NBA play-offs by defending
champions, the Denver Nuggets.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment