Wachezaji wa Yanga SC, kutoka kulia Wazimbabwe Donald Ngoma, Thabani Kamusoko na wananchi Juma Abdul, Simon Msuva na Mwinyi Hajji Mngwali wakijadiliana namna ya kupiga mpira wa adhabu dakika za mwishoni katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Ndanda FC jioni ya leo Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara. Timu hizo hazikufungana.
England enter the Azteca - where football kings are crowned
-
BBC sport explores the history and cultural power of the Azteca, one of the
great cathedrals of world football, as England prepare to face Mexico there
in ...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment