Diego Costa (katikati) akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza katika ushindi wa 8-0 wa Hispania dhidi ya Liechtenstein mechi ya kufuzu Kombe la Dunia kwa kanda ya Ulaya. Costa alifunga mabao mawili jana Uwanja wa Manispaa ya Reino de Leen mjini Leon, Hispania wakati mabao mengine yalifungwa na Sergi Roberto, David Silva mawili, Vitolo na Alvaro Morata mawili pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Quiz: Every Arsenal PL goalscorer at Tottenham
-
Can you name all 25 Gunners that have scored an away goal in a north London
derby during the Premier League era?
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment