Wachezaji wa timu ya Bin Slum Tyres kabla ya mchezo wa Kombe la Urafiki Uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam jana ambao walishinda 6-0 dhidi ya Sitaki Shari, mabao yao yakifungwa na Saidi Chilala matatu, Shaduli Alhadad mawili na lingine Nahodha Nassor Bin Slum ambaye hata hivyo jana alicheza chini ya kiwango kiasi cha kutiliwa shaka labda 'anahujumu timu'.
Channel Islands welcome Gotland as 2031 Island Games hosts
-
Guernsey and Jersey welcome the news that Gotland will host the 2031 Island
Games.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment