Nyota wa Brazil, Willian akiwa na tuzo zake za Mchezaji Bora wa Mwaka wa Chelsea na Mchezaji Bora Chagup la Wachezaji wa Mwaka wa klabu hiyo baada ya kushinda usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mbali na Willian kushinda tuzo hizo, Eden Hazard ameshinda tuzo ya Bao Bora la Mwaka, Ruben Loftus-Cheek ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka, Fikayo Tomori ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa akademi na Katie Chapman ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Kike wa Mwaka PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kehl: „Großes Kompliment, wie wir in beide Richtungen gearbeitet haben“
-
Ein zufriedener Sportdirektor Sebastian Kehl sprach über das Hinspiel und
die Chancen am kommenden Dienstag in Paris. Er lobte die Kompaktheit in der
Manns...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment