Kiungo wa Tottenham Hotspur, Eric Dier (kulia) akiuetelezea mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Southampton, Msenegal Sadio Mane katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane. Southampton imesinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Steven Davis wakati la Spurs limefungwa na Son Heung-min PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Team news: Unchanged for third game in a row
-
Find out who Mikel Arteta and Andoni Iraola have selected for this
afternoon's Premier League game at Emirates Stadium
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment