• HABARI MPYA

    Friday, October 03, 2014

    MTAALAMU DOMAYO AANZA MDOGO MDOGOO CHAMAZI

    Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo akifanya mazoezi katika gym ya klabu hiyo, iliyopo ndani ya Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Domayo ameanza mazoezi mepesi jana baada ya kuwa nje kwa miezi mitatu kufuatia kufuanyiwa upasuaji wa nyama za paja.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTAALAMU DOMAYO AANZA MDOGO MDOGOO CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top