• HABARI MPYA

    Thursday, October 23, 2014

    PAPA FRANCIS AWAPA BARAKA ZAKE BAYERN MUNICH BAADA YA KUUA 7-1 ULAYA

    KUFUATIA ushindi wa 7-1 wa Bayern Munich dhidi ya AS Roma katika Ligi ya Mabingwa Ulaya Jumanne usiku, msafara mzima wa timu hiyo ulimtembelea Papa Francis Jijini humo.
    Jumatano jioni kufuatia ushindi wao huo Uwanja wa Stadio Olimpico usiku uliotangulia, Bayern walimtembelea Papa Vatican na kumpa zawadi mbalimbali, ikiwemo jezi ya timu hiyo iliyosaidiwa na mpira.
    Papa aliwahutubia wachezaji na msafara mzima wa timu hiyo kabla ya kuwachana nao katika tukio hilo la kihistoria.
    Msafara wa Bayern Munich ukiwa katika picha ya pamoja na Papa Francis huko Vatican Jumatano usiku
    The Bayern Munich team shared an audience with Pope Francis at the Vatican on Wednesday morning
    Papa akiwapa neno wachezaji na viongozi wa mabingwa hao wa Bundesliga 

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2802981/bayern-munich-visit-vatican-meet-pope-francis-roma-s-thrashing-biblical-proportions.html#ixzz3Gun02GBS
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PAPA FRANCIS AWAPA BARAKA ZAKE BAYERN MUNICH BAADA YA KUUA 7-1 ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top