![]() |
| Simba SC imetoa sare mbili katika mechi zake za awali Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, 2-2 na Coastal Union na 1-1 Polisi Morogoro |
![]() |
| Kesho, wekundu hao wa Msimbazi watashuka dimbani kumenyana na Stand United Uwanja Taifa, Dar es Salaam |
![]() |
| Matola akikuna kichwa wakati akimsikiliza Dewji |






.png)
0 comments:
Post a Comment