![]() |
Simba SC imetoa sare mbili katika mechi zake za awali Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, 2-2 na Coastal Union na 1-1 Polisi Morogoro |
![]() |
Kesho, wekundu hao wa Msimbazi watashuka dimbani kumenyana na Stand United Uwanja Taifa, Dar es Salaam |
![]() |
Matola akikuna kichwa wakati akimsikiliza Dewji |
0 comments:
Post a Comment