![]() |
| Kulia ni mfungaji wa mabao mawili ya Simba leo, Ibrahim Hajibu akikabiliana na beki wa Oljoro |
![]() |
| Ibrahim Hajibu akienda kufunga |
![]() |
| Mchezaji wa Simba SC akipambana na mchezaji wa Oljoro |
![]() |
| Vijana wakionyesha ujuzi |
![]() |
| Ilikuwa mechi ya ushindani |
![]() |
| Ibrahim Hajibu aliyeruka juu kupiga kichwa |
![]() |
| Emil Mgeta wa Simba akipasua kushoto |
![]() |
| Carlos Potas aliyeruka juu kupiga mpira kichwa dhidi ya mshambuliaji wa Oljoro |
![]() |
| Issa Abdallah wa Simba akipasua kulia |
![]() |
| Abdul Suleiman wa Simba SC akipasua katikati |
![]() |
| Charles Nsuuza wa Oljoro na Said Ndemla wa Simba katikati ya Uwanja |
![]() |
| Adam Kindemba wa Simba kulia |
![]() |
| Emil Mgeta wa Simba akifunga tela kwa mchezaji wa Oljoro |
![]() |
| Mshambuliaji wa JKT Oljoro akimiliki mpira katikati ya mabeki wa Simba |
![]() |
| Kikosi cha Simba SC leo |
![]() |
| Kikosi cha JKT Oljoro leo |
![]() |
| Hongereni sana wana; Kocha wa Simba, Suleiman Matola kusho akiwapa maji vijana wake baada ya kufunga bao la tatu |
![]() |
| Hawa watoto wa Simba noma; Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Geoffrey Nyange 'Kaburu' akiwa jukwaani kuangalia mechi hiyo |
![]() |
| Kocha wa timu za vijana za taifa, Mdenmark, Jackob Michelsen alikuwepo kuangalia vipaji |






















.png)
0 comments:
Post a Comment