• HABARI MPYA

    Friday, November 22, 2013

    MAN UNITED YAMTIA PINGU CARRICK, SASA WA OLD TRAFFORD HADI 2015

    KIUNGO Michael Carrick amesaini Mkataba mpya Manchester United, ambao utamfanya adumu Old Trafford hadi mwaka 2015.
    Kiungo huyo kwa sasa yuko nje ya Uwanja kwa sababu ya majeruhi, lakini ameemelezea furaha yake kwa kuongeza Mkataba na mabingwa hao wa Ligi Kuu ya England.
    Carrick amesema: "Ni babu kubwa kuongeza Mkataba wangu katika klabu hii kubwa. Hakika nafurahia soka yangu. 
    Hapa pa kubaki: Michael Carrick amesaini Mkataba mpya Manchester United hadil Juni 2015
    In action: But Carrick (right, taking on Arsenal's Santi Cazorla) is currently nursing an achilles injury
    Kazini: Lakini Carrick (kulia, akichuana na kiungo wa Arsenal, Santi Cazorla) anaendelea na matibabu ya maumivu yake
    Michael Carrick
    Suti na kimwana: Carrick akiwa na mkewe Lisa jana katika hafla ya chaula cha usiku ya UNICEF jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YAMTIA PINGU CARRICK, SASA WA OLD TRAFFORD HADI 2015 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top