• HABARI MPYA

    Tuesday, November 26, 2013

    NANI MTANI YA NAMFUA NDANI YA SINGIDA...

    Mchezaji wa timu ya mashabiki wa Simba kwa wanawake,  Mwile Simon akikimbia na mpira wakati beki wa mashabiki wa Yanga, Anastella Elias akijiandaa kuzuia hatari isitokee golini kwake kwenye bonanza la mashabiki wa timu hizo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika uwanja wa Namfua wa mkoani Singida, kushoto ni, Salage Mbulanzu.  Simba ilishinda 1-0. Picha na Rafael Lubava.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NANI MTANI YA NAMFUA NDANI YA SINGIDA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top