Mshambulaji Mtanzania anayechezea Aston Villa ya England, Mbwana Samatta (katikati) akiwa na wachezaji wa klabu yake ya zamani, Simba SC, viungo Mkongo Deogratius Kanda (kushoto) na Mzambia Clatous Chama (kulia) leo Jijini Dar es Salaam. Samatta na Kanda wamewahi kucheza pamoja klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa mafanikio makubwa
Brandon Coleman NFL Draft 2024: Scouting Report for Washington Commanders OT
-
HEIGHT: 6'5" WEIGHT: 313 HAND: 10¾" ARM: 34⅝" WINGSPAN: 84" 40-YARD DASH:
4.99 3-CONE: 7.40 SHUTTLE: 4.62 VERTICAL: 34" BROAD: 9'6" POSITIVES —
Wide-bodied,…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment