Cristiano Ronaldo akisikitika baada ya Juventus kutolewa katika Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya licha ya kufunga mabao mawili dakika za 43 kwa penalti na 60 akimalizia pasi ya Federico Bernardeschi katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa marudiano usiku wa jana Uwanja wa Allianz, Torino. Bao la Lyon lilifungwa na Memphis Depay kwa penalti dakika ya 12 na kufanya sare ya jumla ya 2-2 na wageni kushinda 1-0 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani, Ufaransa hivyo kusonga mbele kwa faida ya bao la ugenini na sasa itakutana na Manchester City iliyoitoa Real Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian McCaffrey's fiancee Olivia Culpo teases wedding 'countdown' as
model prepares to marry 49ers star
-
San Francisco 49ers star Christian McCaffrey could soon be tying the knot
after his fiancee Olivia Culpo revealed that the 'countdown' to their
wedding is on.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment