Clement Lenglet (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 72 ikiilaza 3-2 Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Estadio Benito Villamarín. Mabao mengne ya Barcelona yalifungwa na Frenkie de Jong dakika ya tisa na Sergio Busquets dakika ya 45 na ushei na wakati ya Real Betis yalifungwa na Sergio Canales kwa penalti dakika yasita na Nabil Fekir dakika ya 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Georgia star Javon Bullard screams 'I'm a F****NG Packer' in joyous scenes
with his family after getting NFL Draft call from Green Bay in second round
-
Georgia safety Javon Bullard shared a joyous moment with his family on
Friday night, screaming 'I'm a f****ng Packer!' after getting an
all-important call ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment