Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne dakika ya 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton leo Uwanja wa St. Mary's, Hampshire. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Tammy Abraham dakika ya 24, Mason Mount dakika ya 17 na N'Golo Kanté 40, wakati la Southampton limefungwa na Danny Ings dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Empowering women: Not just smart politics but the right thing to do
-
Every year, on March 8th, countries and communities around the world
celebrate International Women’s Day (IWD). This year, it is being held
against the b...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment