Mshambuliaji mwenye umri wa miaka 21, Mbrazil Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 22 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Tottenham Hotspur leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley mjini London, leo. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Ilkay Gundogan dakika ya 25 kwa penalti na Raheem Sterling dakika ya 72, huku la Spurs likifungwa na Cristian Eriksen dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shohei Ohtani's former interpreter Ippei Mizuhara pleads guilty to bank
fraud over $17M theft from Dodgers star
-
Mizuhara, who gambled on several sports except for baseball, is expected to
enter a guilty plea 'in the coming weeks,' with his arraignment scheduled
for M...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment